Move With Us:

1.jpg
cover image for SUPPORT FEMINIST MOVEMENTS IN UKRAINE, POLAND, and BULGARIA NOW blog
Share

Mtandao wa Wanawake Watoa Tamko Kuhusu Miswada ya Uchaguzi

By WFT-T

01 February 2024

Mtandao wa Wanawake, Katiba, Uchaguzi na Uongozi jana tarehe 22/1/2024 walitoa tamko lao kuhusu miswada mitatu iliyowasilishwa Bungeni hivi karibuni.

Katika tamko lao, wanamtandao hao wameitaka kamati ya kudumu ya Bunge ya Utawala, Katiba na Sheria kuhakikisha suala la misingi ya usawa wa kijinsia linawekwa katika miswada hiyo. Miswada hiyo ni pamoja na Mswada wa Sheria ya Uchaguzi wa Rais, Wabunge na Madiwani,2023, Mswada wa Marekebisho ya Sheria ya Vyama vya Siasa, 2023 na Mswada wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, 2023.

Wakiwasilisha maoni yao mbele ya vyombo vya habari, wanamtandao hao walisema baada ya kufanya uchambuzi yakinifu wa miswada yote mitatu wamegundua uwepo wa mapengo ya Jinsia katika miswada hiyo.

“Tamko hili linahusu madai yetu kwamba nchi yetu inatakiwa iwe na sheria zenye kubainisha usawa wa jinsia pamoja na kuanisha misingi ya uwajibishwaji kwa wale wote wanaopewa dhamana ya uongozi katika kutafsiri misingi hii katika sera na mipango mikakati ya utekelezwaji”Alisema Mary Ndaro, Kaimu Mwenyekiti wa mtandao.

Mtandao wa Wanawake, Katiba, Uchaguzi na Uongozi unaojumisha mitandao, mashirika na asasi za kiraia takribani 200.

Kupata maelezo kwa undani kuhusu maoni ya Mtandao bofya hapa kusoma Tamko hili

https://ipf- website.s3.euwest3.amazonaws.com/TAMKO_LA_MTANDAO_WA_WANAWAKE_KUHUSU_MISWADA_INAYOHUSIANA_NA_UCHAGUZI_1affada8fd.pdf

RECOMMENDED BLOGS

View All
very best uzinduzi.jpg

Coastal Women and Youth Equipped to Lead in the Blue Economy

On 15th June 2025, RESEA, in collaboration with its project partners—Mission inclusion, Women Fund Tanzania Trust (WFT-T), the International Union for Conservation of Nature (IUCN), and OceanHub Africa—with support from Global Affairs Canada, launched a seven-day Blue Economy Entrepreneurship Incubation Programme.

June, 24 2025

Read this blog post

for website.JPG

Empowering Women and Girls on the Impact of Climate Change and Conservation Measures

In a bid to empower women and youth who depend on coastal and marine resources—and to ensure they benefit from the blue economy while understanding their rights—a community-wide awareness session was recently held in Pangani Magharibi Ward.

June, 24 2025

Read this blog post

BEIJING 30 8  _11.JPG

30 Years After Beijing: Activists Call for Gender-Responsive Budgeting

As Tanzania marks over three decades since the landmark 1995 Beijing Conference on Women, gender rights Activist, Mary Rusimbi is urging a new wave of activists to intensify their push for gender-responsive policies and budgeting frameworks.

June, 05 2025

Read this blog post