Move With Us:

1.jpg
cover image for SUPPORT FEMINIST MOVEMENTS IN UKRAINE, POLAND, and BULGARIA NOW blog
Share

Mtandao wa Wanawake Watoa Tamko Kuhusu Miswada ya Uchaguzi

By WFT-T

01 February 2024

Mtandao wa Wanawake, Katiba, Uchaguzi na Uongozi jana tarehe 22/1/2024 walitoa tamko lao kuhusu miswada mitatu iliyowasilishwa Bungeni hivi karibuni.

Katika tamko lao, wanamtandao hao wameitaka kamati ya kudumu ya Bunge ya Utawala, Katiba na Sheria kuhakikisha suala la misingi ya usawa wa kijinsia linawekwa katika miswada hiyo. Miswada hiyo ni pamoja na Mswada wa Sheria ya Uchaguzi wa Rais, Wabunge na Madiwani,2023, Mswada wa Marekebisho ya Sheria ya Vyama vya Siasa, 2023 na Mswada wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, 2023.

Wakiwasilisha maoni yao mbele ya vyombo vya habari, wanamtandao hao walisema baada ya kufanya uchambuzi yakinifu wa miswada yote mitatu wamegundua uwepo wa mapengo ya Jinsia katika miswada hiyo.

“Tamko hili linahusu madai yetu kwamba nchi yetu inatakiwa iwe na sheria zenye kubainisha usawa wa jinsia pamoja na kuanisha misingi ya uwajibishwaji kwa wale wote wanaopewa dhamana ya uongozi katika kutafsiri misingi hii katika sera na mipango mikakati ya utekelezwaji”Alisema Mary Ndaro, Kaimu Mwenyekiti wa mtandao.

Mtandao wa Wanawake, Katiba, Uchaguzi na Uongozi unaojumisha mitandao, mashirika na asasi za kiraia takribani 200.

Kupata maelezo kwa undani kuhusu maoni ya Mtandao bofya hapa kusoma Tamko hili

https://ipf- website.s3.euwest3.amazonaws.com/TAMKO_LA_MTANDAO_WA_WANAWAKE_KUHUSU_MISWADA_INAYOHUSIANA_NA_UCHAGUZI_1affada8fd.pdf

RECOMMENDED BLOGS

View All
StopWar-8M-1024x1024.jpg

Not Provided

The war in Ukraine is intensifying at an alarming rate, with the Russian invasion leading to massive violations of human rights and international humanitarian law, massive migration, death, violence, and destruction.

January 1, 1970

Read this blog post

STRENGTHENING-THE-SEXUAL-AND-REPRODUCTIVE-HEALTH-RIGHTS-COALITION-e1646642456595-1024x529.jpg

Not Provided

Intersectionality is important in tackling inequalities and injustices towards women, girls, children and other social justice actors so as not to perpetuate inequality in systems

November 18, 2022

Read this blog post

2-1024x683.jpg

Not Provided

We have made history! 2015 in Tanzania was definitely a year of firsts! We saw the inauguration of the first Female Vice President; had women actively observing our general elections for the first time; had the first of its kind monitoring system to minimize any act of sextortion; and the first time that so many women went in vying for electoral positions.

November 18, 2022

Read this blog post